Skip to main content

ORODHA YA NCHI 80 AMBAZO MTANZANIA ANARUHUSIWA KUINGIA BILA VIZA.



         Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema kuna zaidi ya nchi 80 ambazo watanzania wanaweza kusafiri bila ya kuwa na viza .

Mhandisi Hamad Masauni amesema kuna zaidi ya nchi 80 ambazo watanzania wanaweza kusafiri bila ya kuwa na viza za kusafiria kama ilivyokuwa nchi za afrika Mashariki.

Mhandisi Massauni amebainisha hayo leo bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Mlalo kupitia tiketi ya CCM Rashid Shangazi aliyetaka kujua ni nchi ngapi ambazo watanzania wanaweza kusafiri bila ya kuwa na viza (viza on arrival).

"Zipo nchi 16 kwa Afrika ambazo watanzania wanaweza kuzitembelea bila ya kuwa na viza na duniani zipo 67" alisema Masauni.

Aidha Massauni amezitaja nchi hizo kuwa ni Benin, Burkina Faso, Cape Verde, Ivory Coast, Djibouti, Gabon, Gambia, Guinea, Guinea­Bissau, Liberia, Mali, Mauritania, Niger, Sierra Leone pamoja na Togo.

Pamoja na hayo Masauni amesema zipo nyingine ndani ya umoja wa Jumuiya ya Madola lakini haziwezi kuwapatia fursa watanzania kutumia 'viza on arrival'.

"Ni kweli nchi za Jumuiya Madola zinautaratibu wa kutembeleana wananchi wake bila ya kuwa na Viza lakini kama nilivyo jibu katika swali langu la msingi kwamba ushirikiano na matengemano hayo ya jumuiya ya madola utaratibu wake unaweza kubadilika kulingana na mahusiano na hali ya kiusalama kwa hiyo siyo jambo la kushangaza kuona  India na Nigeria kwamba nchi hizi  mbili zipo kwenye uanachama wa Jumuiya ya Madola lakini utaratibu wa viza kuna 'level' unakuwa hautumiki" alisisitiza Masauni.


KUTOKA JAMII FORUMS

kunautaratibu wa kila nchi katika kuruhusu wageni kuingia nchini mwao. Nchi zote duniani huitaji visa itakayokupa ruhusa wewe kukaa nchini mwao kwa kipindi utakachokuwa umepewa.
Lakini kutokana na urafiki na makubaliano ambayo huwa yanafanywa na baadhi ya nchi juu ya uhuru wa kutembeleana kwa watu wao, huwa wanaamua kutoa kikwazo cha visa na hivyo kururhusu watu wao kutembeleana pasipokuwa na visa.
Tanzania inajumla ya nchi 76 ambazo mtanzania anaweza kutembelea pasipokuwa na visa ya kumuwezesha kuingia ndani ya nchi hizo.
Baadhi ya nchi hizo ni Albania, Cook Islands, Djbouti, Dominica, Ethiopia, Ecuador, Fiji, Grenada, Gambia, Georgia, Haiti, Nepal, Namibia, St Lucia, Singapore, Seychelles, Swaziland, Tuvalu, Togo, Trinidad & Tobago, Timor-Leste, Uganda, Vanuatu, Zambia, Zimbabwe
zingine hizi hapaAntigua & Barbuda
Albania *
Armenia
Azerbaijan
British Virgin Islands
Barbados
Bangaladesh
Botswana
Burundi
Bahamas
Belize
Bermuda
Bolivia
Cambodia
Cayman Islands
Cape Verde
Comoros
Cook Islands
Djibouti
Dominica
Ethiopia
Ecuador
Egypt **
Fiji
Grenada
Gambia
Guinea
Georgia
Haiti
Hong Kong (3months Visa upon arrival)
Jamaica
Jordan *
Kenya
Kosovo
Laos
Lebanon *
Lesotho
Libya *
Liberia
MacauMalaysia (1 month visa upon arrival)
Madagascar
Maldives
Malawi
Mauritius
Micronesia
Mozambique
Montserrat
Mongolia
Nauru
Niue
Nepal
Namibia (1 month visa upon arrival)
Nicaragua
Palau
Philipines
Qatar *
Rwanda
Samoa
Suriname *
St.Kitts & Nevis
St.Vincent & Grenadines
St. Lucia
Sierra Leone
Singapore (1 month visa upon arrival)
Seychelles
Swaziland
Tuvalu
Togo
Turkmenistan *
Trinidad & Tobago
Timor-Leste
Uganda
Vanuatu
Zambia
Zimbabwe
In the case of Egypt, travelling without visa

Comments

Habari Nyingine Kutoka Kioo17 Swahili;

TUPAC SHAKUR ALIBAKWA JELA !!!

             Ulimwengu wa filamu za Hollywood na muziki wa Hip Hop juzi ulipatwa na mshangao baada ya mtayarishaji wa filamu inayohusu maisha ya hayati Tupac Shakur ,L.T Hutton kuelezea sababu zilizomfanya kumbadilisha muongozaji wa filamu hiyo kutoka John Singleton na kumuweka muongozaji Benny "Boom" Douglas.  Filamu hiyo inayoitwa "all eyez on me" tayari imekwisha andaliwa na inatarajiwa kuzinduliwa leo tarehe 16 Juni 2017.       Akizungumza kwenye mahojiano redioni L.T Hutton amewashtusha watu wengi baada ya kudai kwamba walishindwana na muongozaji wa mwanzo bwana John Singleton sababu muongozaji huyo aling'ang'ania kuwepo kwa matukio (scene) ambazo kwa maoni yake zisingependeza.        Matukio ambayo John Singleton alipenda yawepo katika filamu hiyo ni pamoja na kutaka filamu hiyo ianze na scene ya Tupac akilazimisha kumlawiti msichana wa kizungu.!!!          Singleton pia alitaka kuwepo na scene ya Tupac akibakwa gerezani.!!!                 K

SABABU YA SOKO LA NYAMA YA MBWA KUONGEZEKA NCHINI CHINA.

Kila mwaka wakati wa msimu wa majira ya joto, tamasha la kula mbwa linafanyika Yulin, jiji lililo katika jimbo la kusini mwa China la Guangxi.  Tukio la mwaka jana lilimalizika na utata usio wa kawaida. Picha za mbwa wakichinjwa kikatili na kukaangwa zilisababisha gumzo kubwa ulimwenguni kote. Tamasha la Nyama ya Mbwa la Jinhua Hutou, kama linavyoitwa, lilifungwa ghafla wiki chache zilizopita. Wanaharakati wa haki za wanyama na wabunge wa Marekani walitaka Uchina kupiga marufuku kula na mbwa na paka, kama vile Taiwan alivyofanya mwaka 2017.  Serikali za mitaa za Yulin zilichukua hatua za kuzuia na kuficha baadhi ya shughuli za baadhi ya shughuli hizo kama vile kuuza mbwa katika masoko ya chakula.  Hata hivyo, tamasha hilo lilifanyika na kufana zaidi ya miaka mingine.  Kwa nini tabia hii isiyo ya kawaida kwa nchi nyingine imekuwa maarufu sana nchini China? Nyama ya mbwa haijawahi kuwa kitu cha kawaida katika chakula cha Kichina. Tofauti na sehemu nying

SABABU YA MANJI KUMKATAA WAKILI PETER KIBATALA.

Mpaka sasa unatakiwa kufahamu kwamba Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya dhamana yaliyowasilishwa na Mfanyabiashara Yusuf Manji ambae anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi. Hata hivyo kabla ya kutupiliwa maombi hayo, Manji alisimama na kuieleza Mahakama kwamba ameamua kukataa kuendelea kuwakilishwa na Wakili Peter Kibatala kwa sababu za kisiasa. Manji amedai alipopeleka maombi ya dhamana Mahakamani hapo alimpa maelekezo wakili Joseph Tedayo lakini alishangaa kesi ilipofika Mahakamani kwa ajili ya kisikilizwa maombi yake, akawakilishwa na wakili Peter Kibatala. TAZAMA VIDEO HAPA : CHANZO : http://millardayo.com/mnj2017a/

MADUKA YA NYAMA 9 YAMEFUNGWA KWA KUUZA NYAMA ZILIZOWEKWA KEMIKALI ZA KUHIFADHIA MAITI.

Timu ya utekelezaji wa sheria ya mji mkuu wa Kampala imefanya operesheni ambayo watu wawili wamekamatwa na maduka ya kuuza nyama 9 yamefungwa kwa sababu za usafi na matumizi ya kemikali za sumu ili kuhifadhi nyama. Operesheni hiyo ilifanyika leo asubuhi huko Kalerwe na Ntinda kufuatia malalamiko kadhaa kutoka kwa umma. Msemaji wa Kcca Peter Kauju anasema watu wawili walikamatwa baada ya kuwakuta na baadhi ya kemikali hatari ambazo hutumika kuhifadhi miili iliyokufa(maiti). Kauju alionya kuwa operesheni itaendelea katika mji mzima ili kuepuka mambo yoyote ambapo watu wanatumia kemikali za hatari kulinda nyama. Kauju anaongeza kuwa watu wawili walikamatwa watafikishwa mahakamani. Hivi karibuni, kulikuwa na kilio cha umma baada ya ripoti kuwa wauzaji wa nyama huko Kampala wanatumia Vamalin, ambayo ni kemikali inayotumika kuhifadhi maiti katika kuhifadhi nyama. Hii ilifuatia baada ya kifo cha mama aliyekuwa mjamzito hivi karibuni katika kliniki moja

MTOTO WA MOHAMMED ALI HANA HATA ELA YA KULA.

MOHAMMED ALI JR UTOTONI AKIWA NA HAYATI BABA YAKE BONDIA MOHAMMED ALI.          Muda mfupi baada ya Kufariki kwa bingwa wa zamani wa dunia wa ngumi za uzito wa juu Mohammed Ali, kulitokea habari za kushtusha za mtoto wake aliedaiwa kua ametelekezwa na na familia aitwae Mohammed Ali Jr. MOHAMMED ALI JR.        Mtoto huyo wa pekee wa kiume aliyechukua jina la hayati baba yake (Mohammed Ali) ,alikutwa akiishi maisha ya kifukara kupindukia huko kusini mwa jiji la Chicago, Illinois,Marekani.       Mohammed Ali jr mwenye umri wa miaka 45 ,ni mtoto wa mke wa kwanza wa hayati Mohammed Ali ,Khalilah Ali ,ambae kuna wakati aliwahi kusikika akidai kwamba mtoto huyo alianza kuathirika kisaikolojia tangu utoto baada ya kuanza kuishi mbali na baba yake. HAYATI MOHAMMED ALI AKIWA NA MKE WAKE WA KWANZA ,KHALILAH ALI NA WATOTO WAO MARYUM, JAMILLA, RASHEDA NA MOHAMMED ALI JR.        Kwenye mahojiano yalifanyika miaka miwili iyopita,Mohammed Ali Jr alisema kwamba alikua hajali ki

ORODHA YA NCHI ZA KWANZA NA ZA MWISHO KWA AMANI DUNIANI.

Marekani:  Ripoti ya Taasisi ya Uchumi na Amani imepata mataifa kumi tu ulimwenguni ambayo hayapo katika vita na migogoro kabisa. Kwa mujibu wa Ripoti ya Kimataifa ya Amani 2016, Botswana, Chile, Costa Rica, Japan, Mauritius, Panama, Qatar, Uswisi, Uruguay na Vietnam ndio nchi pekee ambazo hazipo kwenye vita wala migogoro yeyote ile ya kuhatarisha amani.. Iceland inaongoza orodha ya nchi zinazoongoza kwa amani ulimwenguni, ikifuatiwa na Denmark, Austria, New Zealand, Ureno, Jamhuri ya Czech, Uswisi, Canada, Japan na Slovenia - wakati Marekani ikiwa kwenye nafasi ya 103. Palestina imepanda kutoka nafasi ya 163 mpaka nafasi ya 148. Syria iliyoharibiwa na vita imewekwa chini ya orodha, chini kuliko Sudan Kusini, Iraq, Afghanistan, Somalia, Yemen, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Ukraine, Sudan na Libya. "Ripoti inalinganisha amani duniani kwa kutumia mandhari tatu pana: hali ya utulivu na usalama katika jamii; kiwango cha mgogoro wa ndani au wa kimataifa; na kiwango cha kije