![]() |
| MWIMBAJI ROSE MHANDO. |
Msanii maarufu wa wa nyimbo za injili Rose Mhando anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kutokomea na ma-laki ya pesa kutoka kwa waratibu wa onesho la uzinduzi wa albamu ya kwaya ya AICT Singida.
TAZAMA KIPANDE HIKI CHA VIDEO:
VYANZO: Youtube.com/bs,
Channel Ten (habari)

Comments
Post a Comment